![]() |
Timu Shabani kabla ya mchezo kuanza |
Hadi timu zinaenda mapumziko magoli yalikuwa 2-0. Kipindi cha pili kilianza kwa kila timu ikiwa imefanya mabadiliko. iliwachukua muda mfupi kupata goli kwa njia ya penati lililofungwa na Moses baada ya beki wa Timu Sulemani kumchezea rafu kwenye eneo la hatari.
Dakika 20 kabla mpira kumalizika Timu Sulemani iliongeza goli la tatu kupitia mshambuluaji wao Moses. Hadi mpira unaisha timu Suleimani walishinda goli 3-1.
Katika mchezo huo refa alichangia kwa kiasi kikubwa kwa timu Shabani kufungwa baada ya kuonesha upendeleo wa wazi kabisa. Na hata timu Sulemani ilipopata goli la pili alionekana kushangilia kisirisiri. Hii inashauriwa wakati mwingine achaguliwe refa ambaye hana upande katika timu zinazopambana.
![]() |
Timu Sulemsni kabla ya mchezo kuanza. |
0 comments:
Post a Comment