Saturday, 2 January 2016

MATUKIO YA PICHA KATIKA SHEREHE YA KUUAGA MWAKA 2015 NA KUUKARIBISHA MWAKA 2016




Innocent Lyimo na Frank G mwenye Kibagalashia wakipata chakula katika sherehe hiyo

Mwenyekiti kulia na Aaron Nyanda wakipata chakula


Dominic Mbwete na wanawe wakipata msosi



Captain Ahmad pamoja na wanachama wengine wakipata msosi

Katibu mkuu Suleiman Mgaya na watoto wake wakipata chakula

Captain Mohamed Zengwe na Bakuza wakiwa katika foleni ya chakula




Bunyabunya Shamakala akigawa chakula


Benson Mwemezi akipakua chakula

wadau wakipata chakula

"Kula mwanangu" Katibu akimpa mtoto wake chakula katika sherehe hiyo

"Blogger kazini" Pia akipata msosi katika sherehe hiyo

Musa Siwiti, Benson Hagai katikati na Mohamed Zengwe wakipata msosi





















0 comments:

Post a Comment