Wanachama na wapenzi wa SVSC napenda niwatakie heri ya Krismasi na mwaka mpya ninyi na familia zenu. Matukio mengi yametokea aktikati yetu mazuri na mabaya sina haja ya kuyataja lakini Mungu ni mwema ametufikisha hapa.
2015 imeisha Kwa Amani,Upendo ,mshikamano na ushirikiano wa hali ya juu
sana ndani ya SVSC naomba tuhamie navyo 2016,changamoto kubwa
tuliyopata ni kipato cha kuendesha timu yetu Kwa niaba ya uongozi
nawashukuru sana Kwa kutuwezesha kuimudu Ila bado haijaisha tumehama
nayo mwaka huu 2016,Napenda kutumia maneno yaliyotumiwa sana na hayati
mwl Nyerere akimnukuu aliyekuwa rais wa marekani Kennedy,"jiulize kwanza
utaifanyia nn Svsc sio Svsc itakufanyia nn wewe". Mungu ibariki Svsc.
Karibuni mazoezini.
Peter Mweta,
Mwenyekiti
Peter Mweta,
Mwenyekiti
0 comments:
Post a Comment