Thursday, 20 April 2017

MATUKIO YA PICHA KATIKA MCHEZO WA SVSC vs WAZEE SPORTS

Raha ya ubingwa.. Innocent Lyimo (Mchaga) akibusu kombe baada ya kukabidhiwa....

Richard Mbunda na Tele kabla ya mchezo


Kipa hatari Shaha akiwajibika langoni mwake kuokoa michomo ya wazee Sports....

Katibu Suleiman Mgaya akifuatilia kwa makini mchezo 

Mlinzi hatari T. Bilauri na Peter Mweta  wakiwa makini kuhakikisha wapinzani hawapati nafasi ya kutufunga...

Haikuwa kazi rahisi

Mchomo hata ukiokolewa na kipa hatari Shaha...

Benson Hagai akijaribu kumfunga golikipa wa Wazee Sports lakini shuti lake liliokolewa.....



Kiungo hatari Shaban Kambabhe akiwa mchozoni kuhakikisha anasambaza mipira.....

0 comments:

Post a Comment