Tuesday, 26 September 2017

WAHENGA SPORTS CLUB YAKIONA CHA MOTO KWA SURVEY SPORTS CLUB

 Timu ya wahenga Sports Club inayoundwa na waandishi wa habari za michezo toka vyombo mbalimbali vya habari zikiwemo Tv Magazeti na Radio, walikutana na dhahama pale walipobugizwa magoli 5-0 na Svsc. Alikuwa ni Dr. Mwinyi ambaye alifungua ukurasa wa magoli yakifuatiwa na magoli yaliyofungwa na Mh Ridhiwani kikwete, Hassan Musa na Moses. hadi mpira unaisha SVSC 5 na Wahenga hawakupata kitu.
Kiungo shabani Kambabhe na Frank Maria wakinyoosha viungo kabla ya mchezo kuanza

Captain Peter Ngasa kulia na Moses kushoto kabla ya mchezo kuanza

Wahenga Sports kabya ya mchezo kuanza




0 comments:

Post a Comment