Timu ya Mkisi FC ilikiona cha moto pale ilipokubali kichapo cha goli saba bila kutoka tomu ya SVSC. Goli la kwanza la SVSc liliwekwa kimiani na beki hatari Dr Deusdedit Kibasa baada ya kupata pasi kutoka wa mshambuliaji hatari Musa siwiti. Magoli mengine yalifungwa na Silvatory Malongo ambaye alifunga kwa kupiga kichwa hatari kilichomshinda kipa na kutinga wavuni.. Pia Iddy Kaoneka ( Mnyama) alifunga magoli matatu na kunogesha ushindi wa timu ya SVSC.
0 comments:
Post a Comment