Monday, 11 December 2017

MJUMBE KAMATI YA UFUNDI WA SURVEY VETERANS AAGANA NA UKAPERA.


Mjumbe kamati ya ufundi wa SVSC, Bw. Ally Mgaya ameagana na ukapera baada ya kufunga ndoa na mchumba ake. ilikuwa siku kubwa na muhimu sana kwa Bw, Ally na familia nzima ya wana SVSC ambapo walijumika pamoja katika kumpongeza na kumtakia maisha marefu yenye furaha na amani.

0 comments:

Post a Comment