Monday, 11 December 2017

MATUKIO YA PICHA KATIKA KUSHEREKEA SIKU YA NDOA YA Bw. ALLY MGAYA

Bwana Harusi Ally Mgaya akiwana na Bw Frank Gasper wakiwa na nyuso za furaha baada ya kukamilisha kisomo ambapo SVSC ilikaribishwa kwa ajili ya chakula cha mchana.


Bwana harusi Ally mgaya akiwa amepozi baada ya kumaliza kisomo na ni Muda sasa wadau na majirani kupata chakula


Wadau wakijumuika pamoja kwa ajili ya chakula cha mchana







0 comments:

Post a Comment