Napenda kutoa shukurani za dhati kwenu nyote mlioshiriki na hata wale ambao hawajashiriki najua mlikuwa na nia ila mambo yaliingiliana.
Kwa niaba ya kamati ya utendaji na ya wageni nasema ASANTENI SANA.
Shukrani ziende kwa wale wote waliopewa majukumu na kuyatekeleza kikamilifu kabisa, Katibu, Mhazini,wapokeaji michango Mwalimu Bomba na Babu Carlos (wajela jela) 🤩, Mchaga Frank, Ali Mgaya,Shabani katibu Msaidizi,Mchaga Inno, Oliver Katanje(Dr) na Jumuiya yote ya SVSC.
Vile vile Shukrani ziende kwa baadhi ya Etina Members waliolisikia na kutuchangia, Mhazini alilipia full Chai ya siku ya kwanza kwa wageni na Kurugenzi ya Etina ilituchangia full chai ya mwisho kwa wageni. 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Mwisho niwakumbushe tu kuwa ile ni michango ya kila mwezi ambayo tunatakiwa tuwe tunachanga ,Mhazini atatoa jedwali ili tuendelee kutoa. Niwatakie jioni njema.
M’kiti
0 comments:
Post a Comment