Friday, 28 September 2018

KUELEKEA MCHEZO WA SVSC vs BBV

Kabla ya mchezo kuanza timu ilianza kufanya mazoezi madogo madogo katika uwanja wa Boko Veterans. kutoka kulia ni Suleiman Mgaya, David Kiganga, James Kabambo, Golikipa na John Mbitu wakipasha misuri moto kabla ya mchezo kuanza.

Kundi lingine likifanya mazoezi kutoka kushoto ni James Kabambo, Salum Mvule, Dkt Mwinyi Omary,Dkt Mbunda na Beki hatari Peter ndossa

Peter ndosa kushoto, Bruce Helman katikati na Michael wakipasha misuri kabla ya mchezo kuanza.

Kaptain msaidizi Hamad Shaweji akiondoza wachezaji wa SVSC hawapo pichani kujiandaa na mchezo.

John Mbitu mbele, David Kiganga nyuma na James Kabambo wakimsikiliza muongoza mazoezi hayupo pichani kujiandaa na mchezo.


Farnk Gaspar, Suleiman Mgaya, Kabambo jr na wengine katika kuweka miili yao sawa kabla ya mchezo kuanza.















Musa Siwiti (Blogger wa Timu akipasha misuri kabla ya mchezo kuanza.

















0 comments:

Post a Comment