Mara ya pili sasa Boko Veterans inaifunga SVSC. mara ya kwanza ilikuwa magoli 7-2 na mara hii ni 4-3. Magoli ya SVSC yalifungwa na Mwinyi Mwiny magoli mawili na goli la tatu lilifungwa na Sha Pelee
Timu ikifanya Maandalizi kabla ya mechi katika uwanja wa Boko Beach Veteran...
Mratibu wa Bonanza la wanataaluma SV T. Bilauri akikabidhi zawadi kwa mshindi wa wanza Kaptain wa Survey Veterans Mohamed Adam (Zengwe) baada ya mchezo kumalizika na kuwafunga Surveyor wanafunzi kwa goli 4-1.
Timu ya Survey Veterans imeibuka mshindi katika bonanza lililoandaliwa na wapima Ardhi (Surveyors) lilifanyika katika uwanja wa Chuo cha Ardhi Dar es salaam.
Golikipa hatari wa SVSC Emmanuel Mwandumbya kushoto na Kaptain ...
Pamoja na michezo ya Bonanza timu ilifurahi pamoja kama matukio ya picha yanavyoonesha...
Madam Datah Daudi akiwaandalia chakula wachezaji baada ya mchezo kumalizika.
...
Mchezo wa pili dhidi ya Arusha All Star walikubali kichapo cha magoli 3-1 Magoli yaifungwa na Kelvin, Ngasa na Sisse.
Nahodha wa Survey Veterans Peter Ngassa akimiliki mpira na mchezaji wa Arusha all Star akifuatia kwa karibu.. Arusha ililala kwa magoli 3-1.
...
Mvua kubwa....Hivi ndivyo ilivyokuwa... Kiungo hatari na Naodha wa timu ya SVSC Peter Ngassa akimsaidia Kelvin Haule mwenye mpira katika mechi ilikuwa iichezwa kwenye uwanja uliojaa maji.
Mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha mkoani Tanga ilisababisha uwanja kuwa katika hali mbaya na kupelekea SVSC kufungwa magoli 2-1 kwa Tabu sanaaaa
Kelvin haule Mwenye jezi namba 31 wa SVSC akiwa amekusanya kijiji kuelekea golini kwao
....Gooooooool....
Timu ya SVSC imeondoka leo kuelekea jijini Tanga. Pamoja na mambo mengine itashiriki Bonanza liliandaliwa na Timu Mwenyeji ambapo timu kama Moro Veterans, Tanga Veterans ,Kitambi noma Veterans na Timu zingine zinashiriki katika bonanza hilo.
...