Timu ZENGWE ilijikuta katika wakati mgumu sana pale ambapo hadi kipindi cha kwanza ilikuwa inaongoza kwa goli 4-1 lakini hadi kipyeanga cha mwisho kinapulizwa na ferarii ilikuwa imefungwa magoli 5-4.
![]() |
Zengwe akitoa maelekezo ya mwisho kabla ya mchezo kuanza |
0 comments:
Post a Comment