Sunday, 30 August 2015

BOMBA DAY, BOMBA DAY, BOMBA DAY

Siku hii muhimu kwa wana SVSC ni siku ya kukumbukwa sana kwani timu ilizindua pia jezi mpya kwa ajili ya timu kama picha zinavyoonesha.

Jezi mpya kama zinavyooneka na . Hii ni Timu Bomba ndiyo waliopata nafasi ya kuzindua jezi hizi.Kutoka kulia walioinama ni Mbunda,Osca,Noel,Kabambo,Musa,Feyi,Mwasenga na waliosimama kutoka kushoto ni Charles, John Mbitu,Mahoka,Kione,Ally,Rasul,Juma,Bomba,Hagai na Mzee wa timu NDunguru.

0 comments:

Post a Comment