Sunday, 30 August 2015

BOMBA DAY ,BOMBA DAY, BOMBA DAY, BOMBA DAY, BOMBA DAY, BOMBA DAY

BOMBA DAY ,BOMBA DAY, BOMBA DAY, BOMBA DAY, 


Hivi ndivyo ilikuwa ikitamkika baada ya wazo zuri lililotolewa na mmoja wa wanachama wa SVSC katika kutambua umuhimu na utayari wa kuitumikia timu ambao Bw, Ramadhani Bomba ameuonesha katika kuitumikia timu toka imeanzishwa kama mwl wa timu,
Wazo lilitimia pale wanachama kwa pamoja waliamua kutoa michango yao ili kufanikisha shughuli hii. Tarehe 29/08/2015 ilikuwa siku muhimu katika Timu ya SVSC  baada ya kuadhimisha siku hii pale ambapo Mwalimu Bomba kwa Kushirikiana na Capt Mohmed Adam (Zengwe) walipochagua timu miongoni mwa wanachama wa SVSC ambapo Timu y mwalimu iliitwa (Team Bomba) na Timu nyingine iliitwa (Team Zengwe).
Wachezaji wa Timu Bomba walikuwa kama wafuatao...

  1. Noel (kipa)
  2. Joseph Mwasenga
  3. Rasul Ahmed (Dkt)
  4. James Kabambo
  5. Osca Mwambungu
  6. Charles Antipass
  7. Hagai Benson
  8. Mahoka Said
  9. Athuman Kione
  10. Bilauli
  11. Juma Massawe
  12. Ally Mgaya
  13. Mbunda Richard
  14. Musa Siwiti
  15. Sengo Arbat
  16. Idd Ngaoneka
  17. Ally Mgaya
  18. Alfa
  19. Edwin
  20. Ngassa Peter
  21. John MBitu
  22. Moses
  23. Feyi


na Timu Zengwe wachezaji waliochaguliwa walikuwa kama wafuatao,
  1. Ramadhani Njuma (kipa)
  2. Said
  3. Hemed Salum
  4. Mohamed Adam
  5. Van Bomel
  6. Gaga Hamisi
  7. Frank Gaspar
  8. Hassan Hassan
  9. Mzee Halifa
  10. Suleiman  Mgaya
  11. Carlos Mlinda
  12. Innocent
  13. Shabani K
  14. Maulasa
  15. Kipese Peter
  16. Luku
Mchezo ulianza kila timu ikicheza kwa taadhari lakini hadi mapumziko timu zote mbili hazikufungana. Kipindi cha pili kilianza kwa kila timu kushambulia kwa zamu, Ilikuwa Timu Bomba iliyoanza kupata goli kupitia kwa Moses na baadae Sengo Arbart aliongeza la pili. Timu Zengwe, walianza Zengwe kwa kufanya mabadiliko. 
Iliwachukua dakika 10 kupata goli la kwanza kupitia kwa Innocent Lyimo aliyemalizia mpira uliotemwa na golikipa. Alikuwa Innocent Lyimo tena aliye ipatiagoli la kuongoza Timu ya Zengwe baada ya kuupiga mpira golini huku golikipa akiwa hayupo. Hadi mwisho wa Mchezo Timu Zengwe ilishinda kwa magoli 3-2.



0 comments:

Post a Comment