MATUKIO YA PICHA KATIKA MCHEZO WA KUMUENZI MWL RAMADHANI BOMBA
 |
Musa Siwiti kushoto, Beki hatari Joseph Mwasenga katikati na James Kabambo kulia kabla ya mchezo |
 |
(jezi imempendeza sana hii) Frank Gaspa timu Zengwe |
 |
Beki kisiki Makoye Timu Zengwe |
 |
Luku akionesha alama ya vidole viwili kwamba tutawafunga 2 ila Zengwe la Muddy Zengwe lilisababisha tufungwe tatu |
 |
Hii ndiyo Timu ZENGWE iliyoibuka na Ushindi siku ya Bomba Daya kutoka kulia waliochuchumaa ni Makoye,Luku,Ramadhani,Gaga,Hassan,Suleiman na waliosimama kutoka kushoto ni Kiganga,Van Bomel,Ally,Innocent,Ahmed,Frank,Shaban,Carlos, Zengwe na alifa. |
0 comments:
Post a Comment