Sunday, 30 August 2015

MATUKIO YA PICHA KATIKA MCHEZO WA KUMUENZI MWL RAMADHANI BOMBA

MATUKIO YA PICHA KATIKA MCHEZO WA KUMUENZI MWL RAMADHANI BOMBA

Musa Siwiti kushoto, Beki hatari Joseph Mwasenga katikati na James Kabambo kulia kabla ya mchezo

(jezi imempendeza sana hii) Frank Gaspa  timu Zengwe 

Beki kisiki Makoye Timu Zengwe

Luku akionesha alama ya vidole viwili kwamba tutawafunga 2 ila Zengwe la Muddy Zengwe lilisababisha tufungwe tatu

Hii ndiyo Timu ZENGWE iliyoibuka na Ushindi siku ya Bomba Daya kutoka kulia waliochuchumaa ni Makoye,Luku,Ramadhani,Gaga,Hassan,Suleiman na waliosimama kutoka kushoto ni Kiganga,Van Bomel,Ally,Innocent,Ahmed,Frank,Shaban,Carlos, Zengwe na alifa.

0 comments:

Post a Comment