Sunday, 30 August 2015

SHEREHE YA KUADHIMISHA BOMBA DAY ETINA BAR & RESTAURANT

Baada ya mchezo wa kuadhimisha siku hii muhimu, kulikuwa na sherehe iliyoandaliwa na wanachama kwa ajili ya kumpongeza mwalimu kwa kazi kubwa anayoendelea kuifanya katika timu. MATUKIO YA PICHA ANAONESHA,

Katibu Mkuu Suleiman Mgaya , Kaimu Katibu Shabani K. aliyeshika simu na Kaimu Mwenyekiti Dkt, Rasul wakiwakaribisha wapenzi na wanachama katika sherehe ya kuadhimisha siku ya Bomba day Etina Bar &Restaurant.

David Kiganga akifungua champagn kuashiria kuanza kwa sherehe hiyo.

Peter Ngassa (Capt) kushoto,John MBitu  katikati na Misheki  kulia wakifuatilia kwa makini malezo ya Katibu.

....Kaimu Mhazini Benson Mwemezi kulia na Capt Adam Zengwe wakisikiliza hotuba ya Katibu ....

Ramadhani Bomba kushoto akitoa neno la shukrani kwa wapenzi na wanachama wa SVSC hawapo pichani katika siku ya kuadhimisha siku ya Bomba Day huku  M/M/kiti Dkt Rasul akifuatilia kwa makini.

Ikafika muda wa msosi kama ambayo katibu Suleiman Mgaya , Joseph Mwasenga wanagonga Menu.


John Mbitu, Hgai, Misheki na wengine wakiwa wanapata Menu

Ramadhan Bomba ambaye ilikuwa siku yake muhimu akipata msosi

Dkt Rasul akipata msosi siku ya Bomba Day


.....KIMEISHA......

Blogger  Musa Siwiti alikuwa Kazini kuhakikisha Mambo yote yanarekodiwa kwa usahihi na kuingizwa katika blog ya Timu...



Blogger wa Timu Musa Siwiti kushoto, Ahmad Shaweji katikati na Mahoka wakiwa wanapata Msosi katika siku ya Bomba day


0 comments:

Post a Comment