Tuesday, 3 April 2018

MICHUANO YA PASAKA: MECHI YA UTANGULIZI WAZEE SPORTS WAWAFUNGA WAZEE WA SURVEY VETERAN 2-1

 
 Kabla ya mechi ya fainali kulikuwa na mechi ya utangulizi iliyopigwa kati ya Wachezaji wenye umri zaidi ya miaka 50 kwa kila timu ambapo wazee Sports walishinda kwa magoli 2-1

John MBitu (Benteke) katika maandalizi ya mchezo wa utangulizi








Kutoka kulia Dr. Rasul Ahmed, Pius na Bruce Herman wakipasha misuri moto kabla ya mchezo wa utangulizi ambazo SVSC ililala lwa mabao 2-1






0 comments:

Post a Comment