![]() |
Mgeni Rasmi Mkurugenzi wa Ufundi TFF Bw. Salim Madadi akitoa maelezo mafupi kwenye ufungaji wa mashindano ya Pasaka kabla ya kutoa zawadi na kukabidhi kikombe kwa washindi |
![]() |
...Haikuwa Rahisi/......Mfungaji wa goli la ushindi Albart Sengo aliumia baada ya kusukumwa na beki wa wazee sports na kuumia goti. Pole sana kwake //,,, |
![]() |
....Haikuwa raihisi tulipambana kupata ubingwa huu.." Blogger" |
![]() |
wachezaji wa timu SVSC wakimsikiliza mgeni rasmi baada ya mchezo kumalizika |
![]() |
...Ushindi Raha//... |
![]() |
Steven Nyenge "Stevovo" akifurahia jambo na mgeni rasmi Mwl Madadiwakati wa utoaji wa mkono wa pongezi kwa kunyakua ubingwa mara tatu mfurulizo |
![]() |
...Benteke John Mbittu akisalimiana na mgeni rasmi kipindi cha kutoamkono wa pongezi kwa kunyakua ubingwa kwa mara tatu mfurulizo |
![]() |
Mbunge wa Chalinze Bw. Ridhiwani kikwete akisalimiana na Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF Mwl Salimu Madadi ambaye alimwakilisha Naibu katibu mkuu Bw. Wilfread Kidau katika uwanja wa Taifa. |
![]() |
Kaptain Peter Ngasa akikabidhiwa kikombe cha ubingwa na Mgeni rasmi Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF Mwl Salimu Madadi ambaye alimwakilisha Naibu katibu mkuu Bw. Wilfread Kidau katika uwanja wa Taifa. |
![]() |
.....Hongera kwa kuzaliwa.. Maneno ya Innocent Lyimo "Mchaga" akimwambia Mhazini baada ya kummwagia maji kusherehekea siku yake ya kuzaliwa ambayo ilichagizwa na ushindi wa timu ya SVSC |
![]() |
wachezaji wa SVSC na wa Wazee sports wakifurahia kwa pamoja baada ya michuano hii kufungwa na ikiwa imeendwa vizuri kabisa |
![]() |
Kabla ya mchezo kuanza kwa hisani ya Blogger.. |
![]() |
Mchezaji mwenye misuri minene Salvatory Malongo ambaye alitoa pasi kwa Dr. Mwinyi ambaye alifunga goli la kuongoza katika ushindi wa magoli 2-0 ambapo SVSC walichukua ubingwa kwa miaka 3 mfurulizo |
![]() |
Arbert Sengo Mfungaji wa goli la pili ambalo lilipoteza kabisa matumaini ya Wazee Sports kupata ushindi |
![]() |
Musa Siwiti akionesha ufundi katika kumiliki mpira kabla ya mchezo kuanza katika uwanja wa Taifa (shamba la bibi) |
![]() |
Mshambuliaji mwenye misuri Benson Hagai akichezewa mazambi na beki wa Wazee Sports na ilikuwa faulo ambayo haikuzaa matunda... |
![]() |
Beki hatari Joseph Mwasenga (Ayala) akimuacha mshambuliaji wa Wazee Sports na kuambaa na mpira katika uwanja wa Taifa (Shamba la bibi) ambapo SVSC walishinda 2-0 na kuchukua ubingwa... |
0 comments:
Post a Comment