Wednesday, 24 April 2019

MECHI YA KWANZA

Mechi ya kwanza ilichezwa katika viwanja vya Mao Zedong ambapo SVSC ilishindwa kwa magoli 2-1 magoli yakifungwa na Benson Mwemezi na Kelvin Haule.

Captain Jeff Tibenda wakisalimiana na Captain wa Wazee Sports kabla ya mchezo kuanza.


Captain of the Year... Jeff Tibenda.


Jeshi la akiba....





Timu mbili mchanganyiko katika mchezo wa awali ambapo SVSC ilishinda kwa magoli 2-1





0 comments:

Post a Comment