Wednesday, 24 April 2019

SAFARI YA ZANZIBAR 2019

 Timu ilisafiri ikiwa na jumla ya wanachama na achezaji 34 kwa kutumia usafiri wa Azam marine na kufika salama visiwani Zanzibar.

Kutoka kulia Peter Ngasa, Mussa Siwiti na Innocent Kuzengwa wakiwa kwenye boti kuelekea Zanzibar.

Mussa Siwiti (Blogger) tayari kwa safari ya nZanzibar

Eng. Alex Lubida Musa Siwiti tayari kwa Safari ya Zanzibar.

Toka kushoto Peter Simon (Kiopu) Benson mwemezi na Frank Gaspar na Malongo S akioneka kwa nyuma. wakiwa kwenye boti kuelekea Zanzibar.


....Hata vitumbua vilikwepo tu. Frank Gaspar na Benson Mwemezi wakiwa kwenye chombo.

Mwalimu Bomba kulia  aliyeshika kitumbua na S. Malongo wakiwa safiri kuelekea Zanzibar

Katibu Suleiman Mgaya na Innocent Kuzengwa wakiwa safarini...

Zengweeeeeeeee......alikwepo kwenye safari.


Kama kawaida kama Dawa na hawa walikwepo kwenye safari.

0 comments:

Post a Comment